Msamiati wa wafanyakazi

Msamiati wa wafanyakazi  Kazi ni shughuli yoyote halali afanyayo mtu ili kukimu mahitaji yake.Watu hupata kazi hizo kutokana na masomo yao au tajriba na uzoefu. Mifano ya wafanyakazi: Tabibu – Mtu aliye na utaalamu wa kuwatibu wagonjwa. Dereva – Mtu anayeendesha gari. Bawabu – Mtu anayelinda lango. Muuguzi au nesi– Mtu anayemsaidia daktari kuwapa wagonjwa dawa na kuwatunza. Tarishi au katikiro– Mtu anayefanya kazi …

Msamiati wa wafanyakazi Read More »