13.Pupa- F. M. Kagwa Mtiririko
Pupa- F. M. Kagwa Mtiririko Mwakuona amezaliwa na kulelewa katika mtaa duni na nduguze, ambapo amekumbana na dhiki si haba katika maisha yake. Wanapatwa na utapiamlo kwa kupungukiwa na chakula na kuwa na nywele za hudhurungi na miguu ya matege. Hata hivyo, bado ni mtiifu, mcha Mungu na anatia bidii masomoni. Jioni moja akitoka shuleni, …