NGANO

Ngano ni ule utungo, hubuniwa kufundisha Huelezwa kwa mpango, uweze kuburudisha Uwe kweli na urongo, jamii hufunganisha Mtambaji ni fanani, mwenye lugha  natharia Ainaze ni hekaya, mazimwi yakishetani Khurafa wanoongeya, na mashujaa fulani Kuna za mafumbo piya, zenye maana ya ndani Visasili mitanziko,mwisho wake ni usuli. Wahusika wa hekaya,wakuu ni binadamu. Wabunifu nakwambiya,wajanja walohitimu Wachekesha …

NGANO Read More »