TAHAKIKI YA UMBILE

Mwanamke Alikuwa mwanamke wa elfu. Hakika, Mungu alikuwa amempoteza hurulaini wake peponi. Meno ya bisi/mchele yaliyopangwa yakapangika kinywani kama lulu katika chaza/bao katika vidu/kete. Mwanya wa haiba na mvuto /mwanya wa mwangaji. Midomo ya miteko na kasiba. Vidu vilivyoshobweka barabara mashavuni. Urembo wa sahani. Macho ya chawa kama Mchina au Maninga ya gololi/kikombe Pua ya …

TAHAKIKI YA UMBILE Read More »