Uakifishaji

Uakifishaji Neno uakifishaji linatokana na kitenzi ‘akifisha’ chenye maana ya kutumia alama za lugha ifaavyo katika maandishi. Sarufi ya lugha yoyote ile hutegemea uakifishaji ufaao. Kikomo (.)  Kikomo pia huitwa nukta, kituo au kitone. Matumizi yake ni : (a) Kuonyesha mwisho wa sentensi. Mifano: 1. Kababy ameenda ughaibuni. (b) Katika uandishi wa tarehe ili kutenga …

Uakifishaji Read More »