ULEMAVU

ULEMAVU Kilema/Uatilifu –ni kasoro iliyoko kwenye kiungo au viungo vya mwili. Mlemavu – ni mtu au mnyama mwenye kasoro ya kiungo au viungo. A)Hali ya ulemavu Mafungamavi -Miguu iliyopindika kwa ndani. Kidazi -Ukosefu wa nywele kichwani.Pia upara. Kigutu -Kiungo cha mwili kilichokatika. Upara-Hali ya kutokuwa na nywele kichwani. Mangombo -Miguu iliyobinukia mbele. Matege -Miguu iliyopindika kwa nje na kuacha nafasi kati …

ULEMAVU Read More »