VITENDAWILI VYA KISWAHILI NA MAJIBU YAKE

 VITENDAWILI VYA KISWAHILI NA MAJIBU YAKE  A  Adui lakini po pote uendako yuko nawe-Inzi Afahamu kuchora lakini hajui achoracho- Konokono Aliwa, yuala; ala, aliwa-Papa Ajenga ingawa hana mikono- Ndege Ajifungua na kujifunika-Mwavuli Akitokea watu wote humwona-Jua Akitokea watu wote hunungunika na kuwa na huzuni-Ugonjwa Akivaa nguo hapendezi, akiwa uchi apendeza- Mgomba Alipita mtu ana bunda …

VITENDAWILI VYA KISWAHILI NA MAJIBU YAKE Read More »