INSHA
Utungo
unaoundwa kwa mfululizo wa sentensi zinazozungumzia jambo, tukio au kitu fulani
unaoundwa kwa mfululizo wa sentensi zinazozungumzia jambo, tukio au kitu fulani
Aina
1. INSHA
ZA KAWAIDA
ZA KAWAIDA
a) Insha
ya Picha
ya Picha
Ambapo
mwanafunzi amepewa picha kadha na kutakiwa kutunga kisa na kueleza yote
yanayotokea kwenye picha hizo. Chunguza vizuri ujue kinachotokea katika hizo
picha.
mwanafunzi amepewa picha kadha na kutakiwa kutunga kisa na kueleza yote
yanayotokea kwenye picha hizo. Chunguza vizuri ujue kinachotokea katika hizo
picha.
ü Kichwa
kiafikiane na picha ulizopewa. Kila picha ipangwe na kuwa na aya moja.
kiafikiane na picha ulizopewa. Kila picha ipangwe na kuwa na aya moja.
b) Insha
ya Methali
ya Methali
Insha
inayosimulia kisa kinachoonyesha ukweli au uongo wa methali Fulani.
inayosimulia kisa kinachoonyesha ukweli au uongo wa methali Fulani.
Wazia
methali nyingine za kutilia mkazo methali uliyopewa.
methali nyingine za kutilia mkazo methali uliyopewa.
Muundo
Kichwa
methali
yenyewe
yenyewe
Utangulizi
i. Maana
ya juu/wazi
ya juu/wazi
Maana ya ndani/batini
Mwili
ü kisa
kinachofungamana na methali cha kweli au cha kubuni
kinachofungamana na methali cha kweli au cha kubuni
Þ Hitimisho
Þ funzo/maadili
c) Insha
ya Maelezo
ya Maelezo
Þ Inayohusu
kutoa ufafanuzi kuhusu mahali, kitu au jambo fulani kama vile ugonjwa wa
ukimwi, umuhimu wa maji, n.k.
kutoa ufafanuzi kuhusu mahali, kitu au jambo fulani kama vile ugonjwa wa
ukimwi, umuhimu wa maji, n.k.
d) Insha
ya Masimulizi
ya Masimulizi
Þ Ambapo
unatakiwa kusimulia hadithi, kisa au tukio kuhusu jinsi mambo fulani
yalivyotokea. Huweza kuanzia kwa ‘Ilikuwa…’
unatakiwa kusimulia hadithi, kisa au tukio kuhusu jinsi mambo fulani
yalivyotokea. Huweza kuanzia kwa ‘Ilikuwa…’
e) Insha
ya Mdokezo
ya Mdokezo
Þ Ambapo
umepewa mdokezo wa kuanzia (xxx…) au kumalizia (…xxx) k.m. ‘…tangu siku hiyo
alikula yamini kutopuuza ushauri wa wazazi wake tena’
umepewa mdokezo wa kuanzia (xxx…) au kumalizia (…xxx) k.m. ‘…tangu siku hiyo
alikula yamini kutopuuza ushauri wa wazazi wake tena’
f) Insha
ya Mjadala
ya Mjadala
Þ Ambapo
unatakiwa kujadili suala fulani k.m. ‘Shule za mabweni zina manufaa’ au
‘Kujiajiri ni bora kuliko kuajiriwa’ Jadili.
unatakiwa kujadili suala fulani k.m. ‘Shule za mabweni zina manufaa’ au
‘Kujiajiri ni bora kuliko kuajiriwa’ Jadili.
Unapaswa:
· Kuunga
· Kupinga
· Kutoa
uamuzi kutegemea upande ulio na hoja nyingi au nzito.
uamuzi kutegemea upande ulio na hoja nyingi au nzito.
g) Insha
ya Mawazo
ya Mawazo
a Inayohusu
mambo ya kuwaza kuhusu jambo fulani k.m. ‘MIMI NYUKI’
mambo ya kuwaza kuhusu jambo fulani k.m. ‘MIMI NYUKI’
ü Ni
nani asiyenifahamu mimi nyuki.
nani asiyenifahamu mimi nyuki.
a) Insha
ya Mazungumzo
ya Mazungumzo
Maongeo
ya kawaida ambayo huandikwa kama tamthilia
ya kawaida ambayo huandikwa kama tamthilia
MAZUNGUMZO
BAINA YA…
BAINA YA…
Muundo
- Kichwa
- Jina
la msemaji kwa herufi kubwa likifuatwa na koloni - Maneno
ya msemaji - maelezo
ya mandhari na vitendo vya msemaji kwenye mabano - Wazungumzaji
wasikike kama watu wa kawaida - Pawepo
na sentensi ndefu na fupi - Matumizi
ya vihisishi - Ukatizaji
wa maneno…
2. TUNGO
ZA KIUAMILIFU
ZA KIUAMILIFU
G Ambazo
hutekeleza kazi maalum na huwa na muundo maalum.
hutekeleza kazi maalum na huwa na muundo maalum.
Dayalojia
G Mazungumzo
kati ya watu wawili au zaidi kuhusu jambo au mada fulani
kati ya watu wawili au zaidi kuhusu jambo au mada fulani
Þ DAYALOJIA
BAINA YA…
BAINA YA…
Þ Huwa
na utangulizi, mwili na hitimisho
na utangulizi, mwili na hitimisho
Mahojiano
G Mazungumzo
yanayoendeshwa kwa muundo wa maswali na majibu
yanayoendeshwa kwa muundo wa maswali na majibu
G (MAHOJIANO
BAINA YA…)
BAINA YA…)
Barua ya Kirafiki
G Inayoandikwa
kwa ndugu, jamaa na marafiki.
kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Muundo
Anwani ya mwandishi (wima au mshazari. Jina
lisiwekwe!)
lisiwekwe!)
Tarehe ya kuandikwa barua (22 Februari, 2011)
Mwanzo wa barua (kwa … mpendwa/kwenu…
utangulizi (salamu, kumjuliana hali)
mwili/yaliyomo (ujumbe)
Hitimisho (Kwa leo sina mengi. Wasalimie jamaa
wote. Ni mimi wako/wenu, Jina (wima au mshazari)
wote. Ni mimi wako/wenu, Jina (wima au mshazari)
Barua Rasmi/Kwa Mhariri
Barua ambazo huandikwa na kutumwa ofisini kwa
kutaka kuomba kazi, kuomba msaada, malalamiko, kutoa maoni gazetini, n.k.
kutaka kuomba kazi, kuomba msaada, malalamiko, kutoa maoni gazetini, n.k.
Muundo
ü Anwani
ya mwandishi (wima au mshazari)
ya mwandishi (wima au mshazari)
ü Tarehe
ya kuandikwa (usiweke jina).
ya kuandikwa (usiweke jina).
ü Marejeleo
k.m. REJ: SUD/MSS/054/009 (nambari ya kumbukumbu, faili au nambari ya barua)
k.m. REJ: SUD/MSS/054/009 (nambari ya kumbukumbu, faili au nambari ya barua)
ü Cheo
na anwani ya mwandikiwa k.m. Mkurugenzi, Kiwanda cha majani chai cha Kangaita,
S.L.P, 12000, Kerugoya au Mhariri wa Gazeti la ‘Nation’, S.L.P 89000, Nairobi
au KWA ANAYEHUSIKA
na anwani ya mwandikiwa k.m. Mkurugenzi, Kiwanda cha majani chai cha Kangaita,
S.L.P, 12000, Kerugoya au Mhariri wa Gazeti la ‘Nation’, S.L.P 89000, Nairobi
au KWA ANAYEHUSIKA
ü Kupitia
kwa: MWALIMU MKUU, anwani
kwa: MWALIMU MKUU, anwani
ü Mtajo
k.m. Kwa Bwana/Bibi/Profesa/Daktari/Mhubiri
k.m. Kwa Bwana/Bibi/Profesa/Daktari/Mhubiri
ü Kichwa
cha barua k.m. MINT: OMBI LA KAZI YA UALIMU/MAPENDEKEZO KUHUSU JUMA MRISHO/
MWALIKO WA KUHUDHURIA KONGAMANO LA KISWAHILI
cha barua k.m. MINT: OMBI LA KAZI YA UALIMU/MAPENDEKEZO KUHUSU JUMA MRISHO/
MWALIKO WA KUHUDHURIA KONGAMANO LA KISWAHILI
ü Utangulizi (Mintaarafu
ya tangazo mlilochapisha…naandika kuomba…jinsia…ahadi kufanya kazi kwa bidii)
ya tangazo mlilochapisha…naandika kuomba…jinsia…ahadi kufanya kazi kwa bidii)
ü Mwili
(matatizo, madhara, mapendekezo (naomba, paswa, stahili, naonelea ni bora)
(matatizo, madhara, mapendekezo (naomba, paswa, stahili, naonelea ni bora)
ü Hitimisho
(Natumai, Nitashukuru…Wako mwaminifu/mtiifu, sahihi, jina /cheo, Chama cha
Kiswahili. Nakala kwa: (i), (ii) (wima au mshazari)
(Natumai, Nitashukuru…Wako mwaminifu/mtiifu, sahihi, jina /cheo, Chama cha
Kiswahili. Nakala kwa: (i), (ii) (wima au mshazari)
Barua ya Gazetini Iliyohaririwa
ü Kichwa
(kwa herufi ndogo na usemi halisi)
(kwa herufi ndogo na usemi halisi)
ü mtajo
(Mhariri,)
(Mhariri,)
ü Utangulizi
(Naandika kueleza…)
(Naandika kueleza…)
ü Mwili
(malalamiko, maoni, maombi, mapendekezo)
(malalamiko, maoni, maombi, mapendekezo)
ü Hitimisho
(Natumai…) jina na anwani ya mwandishi)
(Natumai…) jina na anwani ya mwandishi)
Tahariri
ü Maelezo
mafupi ya mhariri wa gazeti kutoa mawazo, maoni au msimamo wa chombo cha habari
anachowakilisha kuhusu suala maalum na muhimu.
mafupi ya mhariri wa gazeti kutoa mawazo, maoni au msimamo wa chombo cha habari
anachowakilisha kuhusu suala maalum na muhimu.
Muundo
GAZETI LA MZALENDO
Februari 24, 2011
HATIMA YA WATAHINIWA
Yaliyomo
Imeandikwa na…
Hotuba
G Maelezo
yanayotolewa mbele ya watu.
yanayotolewa mbele ya watu.
ü Hutolewa
kwa usemi halisi na huanzia na kuishia kwa alama za usemi.
kwa usemi halisi na huanzia na kuishia kwa alama za usemi.
Muundo
ü Anwani
(HOTUBA KUHUSU…)
(HOTUBA KUHUSU…)
ü Utangulizi
(kutaja hadhira kuanzia walio mashuhuri, kuwasalimu, kujitambulisha na
kuwakaribisha na kutambulisha kiini cha hotuba)
(kutaja hadhira kuanzia walio mashuhuri, kuwasalimu, kujitambulisha na
kuwakaribisha na kutambulisha kiini cha hotuba)
ü Yaliyomo
(kutaja na kufafanua hoja)
(kutaja na kufafanua hoja)
ü Hitimisho
(shukrani na kuwatakia mema katika shughuli zao za kila siku)
(shukrani na kuwatakia mema katika shughuli zao za kila siku)
Ratiba
G Mpangilio
wa jinsi shughuli fulani inavyofanyika kulingana na wakati fulani uliotengwa
k.m. sherehe ya arusi, mazishi, siku ya michezo, kutoa zawadi n.k.
wa jinsi shughuli fulani inavyofanyika kulingana na wakati fulani uliotengwa
k.m. sherehe ya arusi, mazishi, siku ya michezo, kutoa zawadi n.k.
Muundo
ü Kichwa
(Ratiba ya shughuli gani, ya nani, mahali na tarehe, mgeni wa heshima: …Wageni
mashuhuri: 1….2….3….)
(Ratiba ya shughuli gani, ya nani, mahali na tarehe, mgeni wa heshima: …Wageni
mashuhuri: 1….2….3….)
SAA
|
TUKIO
|
MHUSIKA
|
Asubuhi/adhuhuri
|
Ku…/watu…
|
|
ü Makaribisho
ü Maombi
ü Kutoa
tuzo
tuzo
ü Kutoa
shukrani
shukrani
ü Kufungwa
kwa maombi
kwa maombi
ü Kuondoka/kufumkana
Shajara
ü Daftari
ambayo huhifadhiwa matukio yanayofanyika kila siku. Yaweza kuwa ya siku moja,
wiki au mwezi mmoja.
ambayo huhifadhiwa matukio yanayofanyika kila siku. Yaweza kuwa ya siku moja,
wiki au mwezi mmoja.
Aina
a) Ya
kibinafsi
kibinafsi
JUMANNE 30/8/10
Leo tulizuru…
b) Rasmi
(hutumiwa katika ofisi)
(hutumiwa katika ofisi)
SHAJARA
JUMANNE MEI 7, 2008
1. asubuhi
|
Ku…
|
2.
|
|
Onyo
Þ Makatazo.
Tahadhari
Þ Julisho
kuhusu jambo la hatari.
kuhusu jambo la hatari.
ONYO!
USISIMAMISHE WALA KUEGESHA GARI
KWENYE ENEO HILI! |
TAHADHARI!
DARAJA HILI LINA KASORO
TAFADHALI USILITUMIE
|
Ilani
Þ Julisho,
tangazo au notisi.
tangazo au notisi.
ILANI
TAFADHALI USITUMIE SIMU
YA MKONO NDANI YA BENKI
|
ILANI YA SERIKALI KUHUSU KUZUKA KWA UGONJWA WA
KIPINDUPINDU
KIPINDUPINDU
Serikali imetoa ilani kwa wananchi kuhusu kuzuka
kwa ugonjwa wa kipindupindu. Kila mwananchi anatakikana kuzingatia mambo
yafuatayo ili kudhibiti maambukizi.
kwa ugonjwa wa kipindupindu. Kila mwananchi anatakikana kuzingatia mambo
yafuatayo ili kudhibiti maambukizi.
a) Mtu
asinywe maji kabla kuyachemsha
asinywe maji kabla kuyachemsha
b) Kupika
chakula hadi kiive vizuri
chakula hadi kiive vizuri
c) Kutoenda
haja nje bali kutumia vyoo vya mashimo
haja nje bali kutumia vyoo vya mashimo
d) Mtu
anawe mikono yake kwa sabuni baada ya kutoka msalani
anawe mikono yake kwa sabuni baada ya kutoka msalani
e) Mtu
asile matunda au mboga za majani bila kuziosha kwanza
asile matunda au mboga za majani bila kuziosha kwanza
f) Anayeonyesha
dalili ya ugonjwa wa kipindupindu apelekwe katika kituo cha afya mara moja.
dalili ya ugonjwa wa kipindupindu apelekwe katika kituo cha afya mara moja.
g) Uchuuzi
wa vyakula umepigwa marufuku
wa vyakula umepigwa marufuku
h) Ufuliaji
nguo motoni pia umepigwa marufuku
nguo motoni pia umepigwa marufuku
Watakaokaidi maagizo katika (g) na (h)
watachukuliwa hatua kali za kisheria ya kutozwa faini ya shilingi elfu tano au
kifungo cha miezi miwili gerezani.
watachukuliwa hatua kali za kisheria ya kutozwa faini ya shilingi elfu tano au
kifungo cha miezi miwili gerezani.
Matangazo
Þ Majulisho
kuhusu jambo fulani.
kuhusu jambo fulani.
a) Arifa
SHULE YA UPILI YA GATWE
Anwani, tarehe
USAJILI WA …
Sahihi
Jina
Cheo
b) Kibiashara
Sifa
- Lugha
kwa kifupi - Chuku
- Takriri
- Alama
ya (!) na (?) - Michoro
- Maonyo
- Maelezo
kukihusu - Kinavyotumika
- Ubora
wake
Watengenezaji
JINUNULIE UNGA WA MAHINDI WA
|
|
|
|
JAMBO SIKU YA LEO. UNGA WA JAMBO
UMEONGEZEWA VITAMINI NA MADINI MUHIMU. BEI IMEPUNGUZWA KUTOKA SHILINGI 120 HADI SHILINGI 90. JIPAPIE PAKITI YAKO LEO KABLA BEI HII KUACHA KUTUMIKA |
|
C)Kifo
TANGAZO LA KIFO
Tunasikitika kutangaza kifo cha …Alikuwa…
Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi
c) kazi
SHULE YA UPILI YA GATWE
Anwani, tarehe
NAFASI YA KAZI YA UHASIBU
SIFA ZA MWOMBA KAZI
JINSIA
Awe wa jinsia ya kike.
UMRI
Awe na umri wa miaka isiyopungua25 na isiyozidi 40.
ELIMU
i. Awe
na shahada ya uhasibu kutoka chuo kikuu au awe na shahada ya diploma ya juu ya
uhasibu
na shahada ya uhasibu kutoka chuo kikuu au awe na shahada ya diploma ya juu ya
uhasibu
ii. Awe
amepata alama ya c katika kingereza
amepata alama ya c katika kingereza
KAZI
i. Kuidhinisha
hati za malipo za shirika
hati za malipo za shirika
ii. Kusimamia
shughuli za uhasibu katika idara inayohusika
shughuli za uhasibu katika idara inayohusika
UZOEVU/TAJRIBA
Awe na uzoevu wa kazi usiopungua miaka 5 kwenye
shirika au taasisi kubwa.
shirika au taasisi kubwa.
DINI
Awe muumini wa dini ya kikristu na awe ameokoka.
MUDA WA KAZI
Kuanzia saa mbili hadi saa kumi na moja jioni na
masaa mengine ikibidi.
masaa mengine ikibidi.
MSHAHARA
Mshahara utategemea elimu ya anayehusika lakini
utakuwa baina ya ksh 24,000 na ksh 45000.
utakuwa baina ya ksh 24,000 na ksh 45000.
MAELEZO YA ZIADA
i. Maombi
yote yawe yamewasilishwa kabla ya tarehe 30 mei 2010.
yote yawe yamewasilishwa kabla ya tarehe 30 mei 2010.
ii. Maombi
yatumwe kwa:
yatumwe kwa:
Katibu,
Halmashauri ya shule ya upili ya Gatwe,
Anwani
iii. Maombi
yatakayopelekwa baada ya muda wa mwisho hayatajibiwa.
yatakayopelekwa baada ya muda wa mwisho hayatajibiwa.
iv. Maombi
yaandamane na hundi ya shilingi elfu moja ambazo hazitarejeshwa.
yaandamane na hundi ya shilingi elfu moja ambazo hazitarejeshwa.
Maagizo/Maelekezo
ü Maelezo
kuhusu namna ya kufika mahali kutoka kituo fulani au maelezo kuhusu njia ya
kutumia kitu au huduma fulani.
kuhusu namna ya kufika mahali kutoka kituo fulani au maelezo kuhusu njia ya
kutumia kitu au huduma fulani.
Sifa
a) Maelezo
wazi
wazi
b) Michoro
au ramani
au ramani
c) Dira
d) Huhusika
maonyo
maonyo
e) Tarakimu
k.m. 1×3
k.m. 1×3
f) Matumizi
ya herufi nzito.
ya herufi nzito.
Mifano
a) Maagizo
ya daktari kwa mgonjwa wa kisukari.
ya daktari kwa mgonjwa wa kisukari.
b) Maelekezo
ya kutoka nyumbani hadi shuleni mwenu.
ya kutoka nyumbani hadi shuleni mwenu.
c) Jinsi
ya kutumia dawa za wadudu
ya kutumia dawa za wadudu
Kujaza Fomu
G Karatasi
ambayo ina nafasi ya kuandika maelezo ambayo yanatakiwa.
ambayo ina nafasi ya kuandika maelezo ambayo yanatakiwa.
a) Soma
fomu kwa makini kabla ya kujaza chochote.
fomu kwa makini kabla ya kujaza chochote.
b) Andika
maelezo kwa muhtasari.
maelezo kwa muhtasari.
c) Usijaze
kama huna hakika kwenye sehemu Fulani.
kama huna hakika kwenye sehemu Fulani.
d) Usifutafute.
e) Itumie
alama inayostahili wakati wa kujaza fomu.
alama inayostahili wakati wa kujaza fomu.
MAELEZO YA KIBINAFSI
TAREHE……………………………………………………
JINA………………………………………………………………
JINSIA…………………………………………………………………
UMRI…………………………………………………………
TAREHE YA KUZALIWA…………………………………………
URAIA………………………………………………
NAMBARI YA KITAMBULISHO………………………………
KAZI……………………………………………………
MKOA…………………………………………………………………
WILAYA……………………………………………………………
SIMU………………………………………………………………
SAHIHI………………………………………………………
TAREHE………………………………………………………..
Hojaji
Maswali
ambayo hutumiwa kama msingi wa kufanyia utafiti na huelekezwa kwa mhojiwa.
ambayo hutumiwa kama msingi wa kufanyia utafiti na huelekezwa kwa mhojiwa.
Aina
a) Hojaji
Wazi
Wazi
Hojaji
yenye maswali ambayo mhojiwa anaruhusiwa kuyajibu kwa maneno yake mwenyewe.
yenye maswali ambayo mhojiwa anaruhusiwa kuyajibu kwa maneno yake mwenyewe.
UCHAGUZI NA VIONGOZI
1. Una
maoni gani kuhusu uchaguzi wa kila baada ya miaka mitatu?
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
maoni gani kuhusu uchaguzi wa kila baada ya miaka mitatu?
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
2. Kwa
nini una maoni hayo?
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
nini una maoni hayo?
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
3. Wewe
ungependelea utaratibu gani wa uchaguzi?
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
ungependelea utaratibu gani wa uchaguzi?
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
4. Je
ni kweli viongozi hung’ang’ania mamlaka?
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
ni kweli viongozi hung’ang’ania mamlaka?
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
5. Je
viongozi hung’ang’ania uongozi kwa sababu zipi?
viongozi hung’ang’ania uongozi kwa sababu zipi?
a) …………………………………………………………….………………………
b) ……………………………………………………………………………………
c) ……………………………………………….….…………………………….….
b) Hojaji
Funge
Funge
ü Hojaji
ambapo mhojiwa anapewa majibu kadha ambayo anatakiwa kuchagua mojawapo bila
kuwa na uhuru wa kuandika atakayo.
ambapo mhojiwa anapewa majibu kadha ambayo anatakiwa kuchagua mojawapo bila
kuwa na uhuru wa kuandika atakayo.
MATATIZO YA KIJAMII
Tia alama kwenye jibu unaloafiki
a) Jamii
yetu inawakandamiza wanawake?
yetu inawakandamiza wanawake?
Ndiyo
( ) La ( )
( ) La ( )
b) Tatizo
kubwa la jamii yetu kwa sasa ni umaskini na ugonjwa.
kubwa la jamii yetu kwa sasa ni umaskini na ugonjwa.
Kweli
( ) Si kweli
( )
( ) Si kweli
( )
Mialiko
Barua
ambayo hupeleka taarifa kwa mtu kumuomba ahudhurie sherehe fulani.
ambayo hupeleka taarifa kwa mtu kumuomba ahudhurie sherehe fulani.
a) Rasmi
(kadi au barua rasmi)
(kadi au barua rasmi)
Muundo
- Jina
la mwalikaji/waalikaji (Bwana/mabwana/bibi/kasisi/daktari - Jina
la mwalikwa - Sherehe
(ndoa, mchango wa pesa, Kuna aina mbili za mialiko. - Kusherehekea/kuadhimisha…)
- Kuhusu
nani - Mahali
pa kukutanika - Tarehe
- Wakati
Anwani
na nambari ya simu ya mwalikaji ambapo jibu litapelekwa kushoto chini (Majibu
kwa…wima)
na nambari ya simu ya mwalikaji ambapo jibu litapelekwa kushoto chini (Majibu
kwa…wima)
b) Kirafiki
(barua ya kirafiki)
(barua ya kirafiki)
Sehemu
ya mwili itoe habari zote muhimu katika mwaliko.
ya mwili itoe habari zote muhimu katika mwaliko.
Risala
Taarifa
inayotoka kwa mtu au watu inayoeleza haja fulani k.m. risaala ya rambirambi,
risala ya heri njema, ya waajiriwa kwa mwajiri au kinyume.
inayotoka kwa mtu au watu inayoeleza haja fulani k.m. risaala ya rambirambi,
risala ya heri njema, ya waajiriwa kwa mwajiri au kinyume.
RISALA YA RAMBIRAMBI/HERI NJEMA KWA…KUFUATIA
Mimi wako…
Resipe
Jumla
ya hatua na kanuni ambazo hufuatiwa na mtu anayenuia kupika au kuandaa kitu
fulani.
ya hatua na kanuni ambazo hufuatiwa na mtu anayenuia kupika au kuandaa kitu
fulani.
UPISHI WA PILAU
Walengwa/walaji
Mipakuo mine (kwa
watu wanne)
watu wanne)
Viambata
a) Vikombe
viwili vya mchele
viwili vya mchele
b) Gramu
25 za mafuta ya majimaji
25 za mafuta ya majimaji
c) Vijiko
viwili vidogo vya pilau masala
viwili vidogo vya pilau masala
d) Nusu
kilo ya nyama
kilo ya nyama
e) Vitunguu
vinne vya ukubwa wa wastani
vinne vya ukubwa wa wastani
f) Vikombe
vinne vwa maji
vinne vwa maji
Hatua za Upishi
a) Kaanga
vitunguu katika mafuta hadi rangi yake ikaribie rangi ya udhurungi
vitunguu katika mafuta hadi rangi yake ikaribie rangi ya udhurungi
b) Chemsha
nyama pekee hadi ilainike
nyama pekee hadi ilainike
c) Ongeza
nyama kwenye sufuria yenye vitunguu na upike kwa dakika tano
nyama kwenye sufuria yenye vitunguu na upike kwa dakika tano
d) Ongeza
mchele na uchanganye kwa mwiko
mchele na uchanganye kwa mwiko
e) Ongeza
maji na uache mchanganyiko utokote kwa dakika kumi na tano
maji na uache mchanganyiko utokote kwa dakika kumi na tano
f) Pakua
pilau ikiwa tayari
pilau ikiwa tayari
Orodha Ya Mambo
a Mlolongo
wa vitu vilivyoandikwa.
wa vitu vilivyoandikwa.
MAHITAJI MUHIMU YA KURUDI SHULENI TAREHE 5/1/2010
a) Sukari
kilo mbili
kilo mbili
b) Dawa
ya meno ya gramu hamsini
ya meno ya gramu hamsini
c) Koko
gramu 500
gramu 500
d) Sabuni
sita za kipande
sita za kipande
e) Kalamu
nne za rangi
nne za rangi
f) Penseli
moja
moja
g) Rangi
ya viatu ya gramu 40
ya viatu ya gramu 40
Tahakiki
a Maandishi
ya kuchambua maandishi ya fasihi.
ya kuchambua maandishi ya fasihi.
USASA WAKUTANA NA UKALE
Anwani: Kitumbua Kimeingia Mchanga
Mwandishi: Said A. Mohamed
Mchapishaji: Oxford University Press
Mhakiki: Amina Fuzo
Maudhui
Meme
a Barua
ambazo huhusisha matumizi ya ya vifaa vya umeme kama talakilishi,
kiepesi/nukulishi/faksi au simu ya mkonono/tamba/rukono.
ambazo huhusisha matumizi ya ya vifaa vya umeme kama talakilishi,
kiepesi/nukulishi/faksi au simu ya mkonono/tamba/rukono.
Barua za Mdahilisi/Pepe
a Ambazo
hutumwa kwa tarakilishi kwa njia ya mtandao.
hutumwa kwa tarakilishi kwa njia ya mtandao.
Ijumaa Machi 30, 2007 saa 08:09:19
Kutoka: aiisha@yahoo.com
Kwa: ahmed@african online.ke
Nakala kwa: amina @ mwananchi.com
MINT/KUH:
Barua ya kawaida
Hitimisho: Aisha Kizito Makwere
Memo
a Taarifa
fupi ambayo huandikwa ofisini kuhusu mambo ya ndani kutoa maelekezo, maelezo au
kukumbusha kuhusu jambo fulani. Ujumbe huwa mfupi na huhusu suala moja tu.
fupi ambayo huandikwa ofisini kuhusu mambo ya ndani kutoa maelekezo, maelezo au
kukumbusha kuhusu jambo fulani. Ujumbe huwa mfupi na huhusu suala moja tu.
SHULE YA UPILI YA GATWE
Anwani
MEMO
REJ: km/01/06
KUTOKA: Mwalimu Mkuu
KWA: wafanyakazi wote
MADA: likizo fupi
TAREHE: 28/2/2011
Ujumbe
Sahihi
Jina
Cheo (mwalimu mkuu)
Taarifa
a Kuarifu
kuhusu habari mpya
kuhusu habari mpya
UCHOCHEZI
Hitimisho
Mariga Mununga
Mwanahabari
Wasifu
a Maelezo
ya mtu kuhusu mtu mwingine tangu kuzaliwa mpaka alipo au kufa kwake.
ya mtu kuhusu mtu mwingine tangu kuzaliwa mpaka alipo au kufa kwake.
WASUFU WA NDUGU YANGU JUMA
Tawasifu
a Maelezo
ya mtu kujihusu
ya mtu kujihusu
TAWASIFU YANGU
Vidokezo
- Jina
lake/lako - Jinsia
- Anakotoka
- Umri
- Kuzaliwa
- Maumbile
- Elimu
- Kazi
- Hadhi
ya ndoa - Lugha
- Lakabu
na sababu - Umaarufu
- Uraibu
- Wasifutaala/Wasifu Kazi
G Maelezo
rasmi kuhusu mtu binafsi ambayo huambatanishwa na barua ya kuomba kazi.
rasmi kuhusu mtu binafsi ambayo huambatanishwa na barua ya kuomba kazi.
WASIFUTAALA WANGU
MAELEZO BINAFSI
Jina : Farida
Almasi Juma
Almasi Juma
Tarehe ya
Kuzaliwa : 7-6-1980
Kuzaliwa : 7-6-1980
Umri : miaka
22
22
Mahali pa
kuzaliwa : Voi
kuzaliwa : Voi
Jinsia : mwanamke
Hadhi ya
ndoa :
Nimeolewa/kapera
ndoa :
Nimeolewa/kapera
Nambari ya kitambulisho : 12345678
Uraia :
Mkenya
Mkenya
Lugha :
Kiswahili, Kingereza, Kikuyu
Kiswahili, Kingereza, Kikuyu
Anwani ya
kudumu :
S.L.P. 1600, Voi
kudumu :
S.L.P. 1600, Voi
Barua pepe :
Farial@yahoo.com
Farial@yahoo.com
Simu
tamba :
9876543210
tamba :
9876543210
ELIMU
1.1. Chuo
Kikuu cha Maseno (Shahada ya Uhasibu)
Kikuu cha Maseno (Shahada ya Uhasibu)
1.1. Shule
ya upili ya Shimoni (Shahada ya KCSE)
ya upili ya Shimoni (Shahada ya KCSE)
1978-1987 Shule
ya Msingi ya Umazi (shahada ya KCPE)
ya Msingi ya Umazi (shahada ya KCPE)
TAJRIBA
Mpaka
sasa Mhasibu
katika shule chekechea ya Mtakatifu Yohana
sasa Mhasibu
katika shule chekechea ya Mtakatifu Yohana
HABARI ZA ZIADA
URAIBU
a) Kusoma
vitabu vya sarufi na fasihi
vitabu vya sarufi na fasihi
b) Kutembelea
wajane, mayatima na wagonjwa
wajane, mayatima na wagonjwa
c) Kuandika
mashairi
mashairi
AZIMIO LANGU
a) Kupaa
kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu hadi kiwango cha uzamifu
kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu hadi kiwango cha uzamifu
b) Kuwa
mhasibu bora zaidi nchini kwa matendo na kuwapa wananchi huduma za kufaa
mhasibu bora zaidi nchini kwa matendo na kuwapa wananchi huduma za kufaa
WAREJELEWA
1. Profesa
Hassan Muoso,
Hassan Muoso,
Chuo
Kikuu Kenyatta,
Kikuu Kenyatta,
S.L.P.43844,
Nairobi.
2. Maimuna
Njavu Mukota,
Njavu Mukota,
Shule ya Upili
ya Alliance,
ya Alliance,
S.L.P. 1 234,
Nairobi.
Kumbukumbu
G Maelezo
kuhusu yaliyojadiliwa na kuafikiwa katika mkutano.
kuhusu yaliyojadiliwa na kuafikiwa katika mkutano.
Muundo
Kichwa (kumbukumbu za mkutano wa kamati/jopo gani,
uliofanyika wapi, tarehe gani, saa ngapi hadi gani na majira)
uliofanyika wapi, tarehe gani, saa ngapi hadi gani na majira)
Waliohudhuria (mwenyekiti, katibu, mweka hazina,
wanakamati)
wanakamati)
Waliotuma udhuru kwa kutohudhuria
Waliokosa kutuma udhuru wa kutohudhuria
waalikwa
Ajenda
a) Kufunguliwa
kwa mkutano (KUMB 3/2OO9)
kwa mkutano (KUMB 3/2OO9)
Kufunguliwa
kwa mkutano, mwenyekiti kuwakaribisha na kuwashukuru waliohudhuruia na kumwomba
… aongoze kwa maombi.
kwa mkutano, mwenyekiti kuwakaribisha na kuwashukuru waliohudhuruia na kumwomba
… aongoze kwa maombi.
b) Kusoma
na kudhibitisha kumbukumbu za mkutano uliotangulia
na kudhibitisha kumbukumbu za mkutano uliotangulia
Kusomwa
na katibu, aliyependekeza na aliyedhibitisha.
na katibu, aliyependekeza na aliyedhibitisha.
c) Masuala
yaliyotokana na kumbukumbu hizo
yaliyotokana na kumbukumbu hizo
(a)
KUMB 8/2008 ununuzi wa miti
KUMB 8/2008 ununuzi wa miti
d) Shughuli
nyinginezo
nyinginezo
e) Kufunga
mkutano (KUMB 7/2009)
mkutano (KUMB 7/2009)
Mkutano
uliisha saa ngapi, maombi yaliongozwa na nani, na mwingine ukapangwa kuwa wa
siku gani.
uliisha saa ngapi, maombi yaliongozwa na nani, na mwingine ukapangwa kuwa wa
siku gani.
Maneo kama walikubaliana, waliafikiana,
alipendekezwa, ilisemekana, waliambiwa, ilionelewa ni bora, walishauriwa,
ilidaiwa, aliomba, n.k.
alipendekezwa, ilisemekana, waliambiwa, ilionelewa ni bora, walishauriwa,
ilidaiwa, aliomba, n.k.
THIBITISHO
KATIBU TAREHE……………
SAHIHI ……………
SAHIHI ……………
MWENYEKITI TAREHE
……………. SAHIHI ……………
……………. SAHIHI ……………
Ripoti
Maelezo
kuhusu mtu, kitu au tukio
kuhusu mtu, kitu au tukio
a) Ripoti
ya Kawaida
ya Kawaida
Swali
huanzia kwa ‘Wewe kama katibu wa chama…’
huanzia kwa ‘Wewe kama katibu wa chama…’
Muundo
- Kichwa
(ripoti ya kamati/jopo gani) - Utangulizi
(maelezo mafupi ya jumla kuhusu chama) - Shughuli
za chama (i, ii, iii) - Hitimisho
(matumaini, mwito kwa wengine wajiunge, wajitahidi) - Ripoti
imeandikwa na (jina, cheo/katibu, sahihi, tarehe)
b) Ripoti
Maalum
Maalum
- Kichwa
(ripoti ya jopo la kutathmini usalama barabarani) - Utangulizi/Hadidu
za rejea (ripoti ilihitajika na kamati gani, uchunguzi ulifanywa kubainisha
nini, matokeo kuelezewa chini pamoja na mapendekezo kutolewa) - Jopo
(majina na vyeo vya wanajopo waliohusika) - Utaratibu/
hatua za utafiti (wanakamati walifanya nini (kamati iliwahoji…ilifanya ukaguzi
wa magari, iliwapa baadhi ya wasafiri hojaji wakajaza, ilipiga picha za video,
mashauriano)
- Matokeo
(kamati iligundua kuwa: (a) - Mapendekezo
(suluhisho la shida) - Hitimisho
(ripoti imeandikwa na, sahihi, jina, cheo/katibu, tarehe 21 Machi 2011.
3. UTUNGAJI
WA/INSHA ZA KISANII
WA/INSHA ZA KISANII
a) michezo
ya kuigiza
ya kuigiza
b) hadithi
fupi
fupi
c) mashairi
d) mafumbo
e) vitanza
ndimi
ndimi