Uncategorized

Football Predictions: A Deep Dive into the Game-Changing Insights

Football, often hailed as the beautiful game, has a global fan base that transcends borders and cultures. In the realm of sports predictions, football takes center stage, captivating enthusiasts with its unpredictability and excitement. This article delves into the world of football predictions, exploring the evolution, key influencing factors, data analytics, popular platforms, challenges, tips, …

Football Predictions: A Deep Dive into the Game-Changing Insights Read More »

Can unrequited love be overcome?

Introduction Unrequited love is a heart-wrenching experience, where one pours their emotions into someone who doesn’t reciprocate. This article explores the depths of this pain and provides insights into overcoming it. The Pain of Unrequited Love The emotional turmoil of unrequited love can be overwhelming, impacting mental health and well-being. Understanding this pain is the …

Can unrequited love be overcome? Read More »

Be different from the rest by doing these

In a world where conformity often takes precedence, standing out from the crowd can be a challenge. However, there are certain actions you can take to set yourself apart. In this article, we will explore seven key strategies that, when implemented, will help you break away from the ordinary and become extraordinary. Learn to Believe …

Be different from the rest by doing these Read More »

lifestyle can affect family reputation

IntroductionOur lifestyle choices, habits, and behaviors play a significant role in shaping our personal identity. These choices not only reflect who we are as individuals but also have a profound impact on our family’s reputation. In this article, we will explore the intricate relationship between lifestyle and family reputation, shedding light on how our actions …

lifestyle can affect family reputation Read More »

12.Nilitamani- Phibbian Muthama. Mtiririko

Nilitamani- Phibbian Muthama. Mtiririko Tumaini(Msimulizi) yuko katika hali ya kutanga huku njaa imemzidi, kwani hajala tangu jana ila chai rangi aliyokunywa usiku, ila ana matumaini ya maisha bora. Ameondoka kwa Nina awali, anayemkaribisha katika nchi hii ya Wabongo na kuishi naye kama mwanawe kwa muda. Tumaini alimwacha mwanawe wa pekee na bibi yake, Farida. Nina …

12.Nilitamani- Phibbian Muthama. Mtiririko Read More »

11.Nipe Nafasi- Mzamane Nhlapo Mtiririko

Nipe Nafasi- Mzamane Nhlapo Mtiririko Mamake msimulizi anaamka huku macho yamesharabu wekundu. Baba yao hawatumii pesa kutoka Afrika Kusini anakofanya kazi migodini. Mama anaamua waende Makongeni kwa jamaa ya baba badala ya kuwatazama wanawe wafe njaa. Wanaabiri basi kutoka Habelo, kijiji wanachoishi, mjini Mbote. Wanafikia mwisho wa barabara na kushuka basi. Wanaipanda Milima ya Maloti …

11.Nipe Nafasi- Mzamane Nhlapo Mtiririko Read More »

10.Toba ya Kalia- Douglas Ogutu. Mtiririko

Toba ya Kalia- Douglas Ogutu. Mtiririko Jack anapokea simu ya Kalia, babake Siri, rafikiye mkubwa tangu utotoni. Ujumbe ni kuwa Siri atakuwa hewani kwenye runinga ya Kikwetu, na ameagiza Jack na wazazi wake (Siri) wawepo. Anavaa shati alilolainisha kwa kuweka chini ya godoro na suruali ya khaki. Hali hii ni kwa kuwa anawekeza kujiendeleza kimasomo. …

10.Toba ya Kalia- Douglas Ogutu. Mtiririko Read More »

9.Ahadi ni Deni- Rayya Timammy Mtiririko

9.Ahadi ni Deni- Rayya Timammy Mtiririko Fadhumo anajiunga na shule nzuri ya upili. Anapelekwa na babake mjini na kumnunulia kila anachohitaji. Wanaagana baada ya Fadhumo kumsisitizia atatia bidii na kufaulu. Babake anamuaga akisema anarudi kwa raha akijua atatia bidii kwa ajili yake mwenyewe na familia. Yanaondokea kuwa maneno ya mwisho ya babake. Wanapanga akae kwa …

9.Ahadi ni Deni- Rayya Timammy Mtiririko Read More »

8.Kifo cha Suluhu- Dominic Maina Oigo. Mtiririko

8.Kifo cha Suluhu- Dominic Maina Oigo. Mtiririko Abigael na Natasha wanasimuliana masaibu yao yanayowalazimu kuwa kupe wa kunyonya wanaume. Wamekulia eneo moja na kupatana na hali ngumu ya maisha hadi wakakinai. Abigael yuko mwaka wa tatu na kapitia taabu tele. Ameomba na kutafuta misaada, hata kwa gavana lakini hapati. Natasha naye amesoma kwa zaidi ya …

8.Kifo cha Suluhu- Dominic Maina Oigo. Mtiririko Read More »

7.Kila Mchezea Wembe- Pauline Kea Kyovi Mtiririko

7.Kila Mchezea Wembe- Pauline Kea Kyovi Mtiririko Hadithi ni barua kutoka Hospitali ya Uhai ni Neema inayoandikiwa Emmi na mpenziwe, Tembo. Nia kuu ni kuomba msamaha huku akimweleza mwenziwe yaliyomsibu, akikiri makosa yake. Bado yuko kitandani, japo ameimarika kidogo. Anaweza kusema kwa kulazimisha na chakula kinapita kooni, ila hajadiriki kuona. Maisha humo ni mazito upande …

7.Kila Mchezea Wembe- Pauline Kea Kyovi Mtiririko Read More »

6.Mzimu wa Kipwerere!- Yussuf Shoka Hamad Mtiririko

6.Mzimu wa Kipwerere!- Yussuf Shoka Hamad Mtiririko Mzimu wa Kipwerere unatisha sana. Mzimu wenyewe ni wa kichaka kidogo kilichojaa aina tofauti ya miti iliyobanana na kusabababisha kiza kinene cha kutisha. Kitisho cha kwanza ni kichaka hicho kuitwa mzimu. Pili, kichaka hicho kiko kwenye kiwanja kipana kilichozungukwa na nyumba za wanakijiji. Jina Kipwerere linatokana na jamaa …

6.Mzimu wa Kipwerere!- Yussuf Shoka Hamad Mtiririko Read More »

5.Sabina- Winnie Nyaruri Ogenche Mtiririko

5.Sabina- Winnie Nyaruri Ogenche Mtiririko Ni Jumapili ya mwisho kabla ya mtihani wa kitaifa kuanza. Sabina anawazia mtihani pamoja na ufadhili wa shule ya bweni unaomsubiri iwapo atafaulu. Hata hivyo, anashangaa itakuwaje akifeli. Anakumbuka maneno ya mwalimu kuwa mizizi ya elimu ni michungu ila matunda ni matamu. Anagutushwa na wito wa Yunuke, na hapo anainuka …

5.Sabina- Winnie Nyaruri Ogenche Mtiririko Read More »

4.Harubu ya Maisha- Paul Nganga Mutua Mtiririko

4.Harubu ya Maisha- Paul Nganga Mutua Mtiririko Utulivu wa mazingira unamsahaulisha msimulizi(Kikwai)  mpito wa wakati hadi anapopokea simu ya Mama Mercy(mkewe) akilalamika kuwa mtoto atalala. Anagundua ni saa nne kasorobo usiku na kufunga kazi na kuondoka ofisini.Hakuna msongamano wa magari. Anapofika Kenyatta Avenue, anagundua simu inaita. Ni mamake amepiga. Haipokei bali anaamua kumpigia akifika nyumbani. …

4.Harubu ya Maisha- Paul Nganga Mutua Mtiririko Read More »

3.Mapambazuko ya Machweo- Clara Momanyi Mtiririko.

3.Mapambazuko ya Machweo- Clara Momanyi Mtiririko. Mzee Makucha na Mzee Makutwa ni marafiki, ambao wamestaafu na umri wao umesonga. Hata hivyo, urafiki wao uliokolea awali sasa umepungua, umebaki tu ule wa kujuliana hali. Mzee Makutwa anaonekana akizurura mtaani na gari lake baada ya kustaafu, wala hakuna ajuaye shughuli zake, hata Mzee Makucha. Anaonekana tu kila …

3.Mapambazuko ya Machweo- Clara Momanyi Mtiririko. Read More »

2.Msiba wa Kujitakia- D. W. Lutomia Mtiririko wa hadithi

2.Msiba wa Kujitakia- D. W. Lutomia Mtiririko wa hadithi Wakazi wa Matopeni wako katika kipindi kigumu sana cha maisha, taabu zinawaandama kila uchao wala hawana wa kumlilia. Machoka ni mmoja kati ya Wasakatonge wanaoishi mtaa wa matopeni. Amefika nyumbani jioni akitoka katika shughuli za kutafuta kibarua ili kupata cha kutia tumboni lakini hajaambulia chochote. Anaona …

2.Msiba wa Kujitakia- D. W. Lutomia Mtiririko wa hadithi Read More »

1.Fadhila za Punda- Rachel Wangari. Mtiririko

1.Fadhila za Punda- Rachel Wangari. Mtiririko Lilia anagutuka kutoka usingizini kwa hofu. Anamsubiri mumewe Luka. Amelala kochini ili amfungulie haraka. Anagundua kwamba bado hajafika kama alivyodhania, lakini hili halimpunguzii hofu, kwani ana hakika kuwa atakuja tu, tena kwa hasira tele kwa kukosa kupokea simu yake, ambayo ilipigwa akiwa bafuni. Ni saa nane za usiku na …

1.Fadhila za Punda- Rachel Wangari. Mtiririko Read More »

MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO NA HADITHI NYINGINE

Utangulizi Mwongozo huu una nia ya kuwa mwanga gizani kwa wasomi wa diwani ya ‘Mapambazuko ya Machweo na Hadithi nyingine, kwa kutoa maelezo maridhawa kuhusiana na hadithi tofauti zilizomo humu. Ili kufanikisha hili, mwongozo huu umeangazia masuala kadhaa katika hadithi. Kabla ya kwenda katika hadithi binafsi, ni vyema kuangazia vipengele Fulani vya diwani. Mada: Mapambazuko …

MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO NA HADITHI NYINGINE Read More »

NAOGOPA.

NAOGOPA. Uko wapi mama Boi,kunyesha bado kungali Nonavyo sitoboi,niletee muwavuli Wandamane na kikoi,baridi shadidi kali Ikiwa mwanga umekosa,nawe tumia akili. Niendapo sitafika,nimeola giza kuu Mvua inamwaika,yatateleza maguu Chinile nitaanguka,ninuwe miguu yuu Njoo hapa mwanga wangu,’tumiye hino akili Muhibu fanya haraka,natapia kwenda too Tumboni naangaika,naomba haraka ndoo Mapema usipofika,hapa nitashika moo Kwa kutii fanya hara,matumbo yakorogana.

INSHA

INSHA Utungo unaoundwa kwa mfululizo wa sentensi zinazozungumzia jambo, tukio au kitu fulani Aina 1.   INSHA ZA KAWAIDA a)   Insha ya Picha  Ambapo mwanafunzi amepewa picha kadha na kutakiwa kutunga kisa na kueleza yote yanayotokea kwenye picha hizo. Chunguza vizuri ujue kinachotokea katika hizo picha. ü  Kichwa kiafikiane na picha ulizopewa. Kila picha ipangwe na kuwa na aya …

INSHA Read More »

TANAKALI ZA SAUTI

            Moyo kupapa papapa ·       Jaza pukupuku ·       Timka timtim – nywele zilimtimka  timtim ·       Chanika chanechane ·       Koma komekome ·       Chanua chanuchanu ·       Mambo kuvurugika vuruguvurugu ·       Tokwa na jasho jekejeke ·       Fafanua  kinaganaga/kinagaubaga/kimasomaso ·       Gugumiza gugugu ·       Batana batabata ·       Moyo kudunda dududu ·       Maskini hohehahe/hahehohe/kupindukia ·       Tafuna tafutafu ·       Tetwereka tepweretepwere ·       Kamata patupatu ·       Penya fya ·       Saga tikitiki ·       Bung’aa ng’aa ·       Miminika bwaibwai ·       Zama zii ·       Saa …

TANAKALI ZA SAUTI Read More »

Masharti ya kisasa

MUHTASARI Kisa hiki kinahusu Kidawa, mwanamke mrembo ambaye alipendwa na muuza samaki aitwaye  Dadi. Dadi alimpenda sana Kidawa na akataka amchumbie awe mkewe. Kidawa alimkataa Dadi na kumkwepa kabisa. Hata hivyo, mambo yalibadilika ambayo yalimshangaza sana Dadi. Kidawa  alimwambia kwamba yu radhi  kuolewa  na  Dadi kwa  masharti ya ndoa  ya kisasa. Dadi kwa  shangwe alizonazo …

Masharti ya kisasa Read More »

KILIMO

                                       Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani.  Pia huitwa zaraa. ifuatayo ni mifano ya misamiati ya kilimo. Shamba– ardhi iliyolimwa na kupandwa mazao.  Pia konde. Weu-kipande cha ardhi kilicholimwa na kutayarishwa ili kupanda mbegu au miche.Pia …

KILIMO Read More »

MAAMKIZI

Maamkizi / maamkio / utweshi Maamkizi hutumika kujuliana hali. Ni maneno ya kuamkiana. Kuna maamkizi yanayoweza kutumika nyakati zozote na baina ya watu wowote. Maamkizi na Majibu 1. Habari? – njema/nzuri 2. Uhali gani? – njema/nzuri 3. Je la utu? – sina utu 4. Waambaje? – sina la kuamba/salama 5. Sabalkheri? – sabalkheri/aheri 6. Masalkheri? …

MAAMKIZI Read More »