MUHTASARI
Kisa hiki kinahusu
Kidawa, mwanamke mrembo ambaye alipendwa na muuza samaki aitwaye Dadi.
Dadi alimpenda sana Kidawa na akataka amchumbie awe mkewe. Kidawa alimkataa
Dadi na kumkwepa kabisa. Hata hivyo, mambo yalibadilika ambayo yalimshangaza
sana Dadi. Kidawa alimwambia kwamba yu radhi kuolewa na
Dadi kwa masharti ya ndoa ya kisasa. Dadi kwa shangwe
alizonazo hakuzingatia undani wa Kidawa, ” Ujue kwamba mimi ni
mwanamke wa kisasa, na mwanamke wa kisasa hutafuta mwanamume wa kisasa
mwenye mapenzi ya kisasa (uk 58).
Kidawa, mwanamke mrembo ambaye alipendwa na muuza samaki aitwaye Dadi.
Dadi alimpenda sana Kidawa na akataka amchumbie awe mkewe. Kidawa alimkataa
Dadi na kumkwepa kabisa. Hata hivyo, mambo yalibadilika ambayo yalimshangaza
sana Dadi. Kidawa alimwambia kwamba yu radhi kuolewa na
Dadi kwa masharti ya ndoa ya kisasa. Dadi kwa shangwe
alizonazo hakuzingatia undani wa Kidawa, ” Ujue kwamba mimi ni
mwanamke wa kisasa, na mwanamke wa kisasa hutafuta mwanamume wa kisasa
mwenye mapenzi ya kisasa (uk 58).
Dadi akamwoa Kidawa
mwanamke wa kisasa. Baadhi ya mambo aliyotakiwa kuyatekeleza ni kusaidia
kazi za nyumbani, kukuna nazi, kuosha vyombo, kufua na kupiga pasi.
Pia amruhusu Kidawa afanye kazi ya umetroni katika shule ya wasichana usiku.
Kidawa alifanya kazi hio kwa zamu. Aidha
kidawa akawa na biashara ya kutembeza
bidhaa za Uarabuni mitaani. Kidawa
aliyafanya haya ili “Kuunganisha ncha nyingi za
mahitaji ya maisha” (uk 61). Baada ya miaka tisa ya ndoa, Dadi
alianza kuingiwa na shaka. Akamshuku Kidawa, akachukia kujipamba kwake,
akachukia kwenda kufanya kazi usiku, akachukia alivyosimama na kuongea na
wanaume wengine na vile vile akachukia uchuuzi wa bidhaa alizofanya.
Furaha ile ya kumwoa Kidawa hadi akaitwa Dadi kichekacheka kwa kumpata
mke wa kisasa Kidawa ikamtoka. Chakula kikamshinda jioni moja. Masharti ya
kuosha vyombo kwa zamu pia yakamshinda.
mwanamke wa kisasa. Baadhi ya mambo aliyotakiwa kuyatekeleza ni kusaidia
kazi za nyumbani, kukuna nazi, kuosha vyombo, kufua na kupiga pasi.
Pia amruhusu Kidawa afanye kazi ya umetroni katika shule ya wasichana usiku.
Kidawa alifanya kazi hio kwa zamu. Aidha
kidawa akawa na biashara ya kutembeza
bidhaa za Uarabuni mitaani. Kidawa
aliyafanya haya ili “Kuunganisha ncha nyingi za
mahitaji ya maisha” (uk 61). Baada ya miaka tisa ya ndoa, Dadi
alianza kuingiwa na shaka. Akamshuku Kidawa, akachukia kujipamba kwake,
akachukia kwenda kufanya kazi usiku, akachukia alivyosimama na kuongea na
wanaume wengine na vile vile akachukia uchuuzi wa bidhaa alizofanya.
Furaha ile ya kumwoa Kidawa hadi akaitwa Dadi kichekacheka kwa kumpata
mke wa kisasa Kidawa ikamtoka. Chakula kikamshinda jioni moja. Masharti ya
kuosha vyombo kwa zamu pia yakamshinda.
Dadi alimfuata
Kidawa kazini ili kumfumania na mwalimu
mkuu kama alivyoshuku. Dadi akaenda nyumbani
kwa mwalimu mkuu akaelezwa hakuwepo. Dadi akawa na
hakika ya kuwa mtego wake ungenasa. Mpango wake wa
awali alivyopanga — akapanda paipu inayoelekea gorofani ili amwone
mwalimu mkuu na Kidawa wake. Dadi alikosea
mwalimu alikuwa peke yake na rundo la
karatasi akisahihisha. Kidawa alipojitoma ndani alitaka kujiuzulu kazi
kwa kuwa mumewe anamshuku.
Kidawa kazini ili kumfumania na mwalimu
mkuu kama alivyoshuku. Dadi akaenda nyumbani
kwa mwalimu mkuu akaelezwa hakuwepo. Dadi akawa na
hakika ya kuwa mtego wake ungenasa. Mpango wake wa
awali alivyopanga — akapanda paipu inayoelekea gorofani ili amwone
mwalimu mkuu na Kidawa wake. Dadi alikosea
mwalimu alikuwa peke yake na rundo la
karatasi akisahihisha. Kidawa alipojitoma ndani alitaka kujiuzulu kazi
kwa kuwa mumewe anamshuku.
Dadi alionekana juu ya
paipu kisha sauti zikaanza kuuliza, “Wewe nani? Unachungulia nini
hapo juu? Wewe mwizi, nini? Au mpiga bodi… Nyinyi walinzi bwenini
kuna mtu amepanda juu ya papau anachungulia ndani,” (uk- 68). Sauti
iliwavutia Kidawa na mwalimu mkuu. Dadi aliangukia kokoto na
damu ikamtoka kichwani. Kidawa alipata ni mumewe. Mwalimu mkuu akapiga
simu kuita ambulensi.
paipu kisha sauti zikaanza kuuliza, “Wewe nani? Unachungulia nini
hapo juu? Wewe mwizi, nini? Au mpiga bodi… Nyinyi walinzi bwenini
kuna mtu amepanda juu ya papau anachungulia ndani,” (uk- 68). Sauti
iliwavutia Kidawa na mwalimu mkuu. Dadi aliangukia kokoto na
damu ikamtoka kichwani. Kidawa alipata ni mumewe. Mwalimu mkuu akapiga
simu kuita ambulensi.
MAUDHUI
Migogoro
ya wanandoa
ya wanandoa
·
Kidawa alijua mabadiliko yaliyomo
maishani. Ingawa wanaume wengi walimtaka yeye
aliahiri yule atakayefuata masharti yake.
Alimtaka Dadi atoe uamuzi. Dadi
alitoa uamuzi bila kuelewa kwa
undani. Kutokana na hayo kukaingia kutoaminiana.
Ukale aliokuwa nao Dadi, na desturi za kitamaduni zikaleta mgongano.
Laiti angalijua.
Kidawa alijua mabadiliko yaliyomo
maishani. Ingawa wanaume wengi walimtaka yeye
aliahiri yule atakayefuata masharti yake.
Alimtaka Dadi atoe uamuzi. Dadi
alitoa uamuzi bila kuelewa kwa
undani. Kutokana na hayo kukaingia kutoaminiana.
Ukale aliokuwa nao Dadi, na desturi za kitamaduni zikaleta mgongano.
Laiti angalijua.
·
Kidawa alikuwa mwaminifu na kwake angetulia.
Masharti ya kisasa aliyotoa Kidawa yalikuwa pia mageni kwa jamii. Dadi
alihisi dunia inamcheka.
Kidawa alikuwa mwaminifu na kwake angetulia.
Masharti ya kisasa aliyotoa Kidawa yalikuwa pia mageni kwa jamii. Dadi
alihisi dunia inamcheka.
·
Mtu anaposhuku kitu, ni vyema kutafuta njia
nzuri na salama ya upelelezi. Njia aliyotumia
Dadi ya kupanda paipu ilikuwa ya kubahatisha na kudhani kuwa
hangeonekana. Kwa sadfa alioneka.
Mtu anaposhuku kitu, ni vyema kutafuta njia
nzuri na salama ya upelelezi. Njia aliyotumia
Dadi ya kupanda paipu ilikuwa ya kubahatisha na kudhani kuwa
hangeonekana. Kwa sadfa alioneka.
·
Mgogoro unaibuka pale ambapo Dadi analazimika kufanya
kazi za nyumbani kama vile kukuna seruni, kukuna nazi na
kuosha vyombo. Dadi anaona kuwa hizi ni kazi zinazostahili kufanywa na
mkewe.
Mgogoro unaibuka pale ambapo Dadi analazimika kufanya
kazi za nyumbani kama vile kukuna seruni, kukuna nazi na
kuosha vyombo. Dadi anaona kuwa hizi ni kazi zinazostahili kufanywa na
mkewe.
Ahadi maishani
·
Kidawa alijua anataka maisha ya aina gani na akafanya
uamuzi wake. Aliamua kuwa mume atakayemuoa ni lazima afuate
masharti ya kisasa.
Kidawa alijua anataka maisha ya aina gani na akafanya
uamuzi wake. Aliamua kuwa mume atakayemuoa ni lazima afuate
masharti ya kisasa.
·
Dadi anapewa masharti na anayakubali. Alijitahidi sana
kuyashikilia kwa miaka tisa. Hata akakubali kwamba wapate mtoto mmoja
kufuatilia usasa.
Dadi anapewa masharti na anayakubali. Alijitahidi sana
kuyashikilia kwa miaka tisa. Hata akakubali kwamba wapate mtoto mmoja
kufuatilia usasa.
·
Kwa Dadi hakuyaelewa yale masharti vyema baadaye
yanamletea karaha na maisha yake yakavia.
Kwa Dadi hakuyaelewa yale masharti vyema baadaye
yanamletea karaha na maisha yake yakavia.
Elimu
·
Elimu ni muhimu maishani. Kutokana na mwanga wa elimu mtu
husika anapata maarifa na ujuzi wa kupanga maisha yake.
Elimu ni muhimu maishani. Kutokana na mwanga wa elimu mtu
husika anapata maarifa na ujuzi wa kupanga maisha yake.
·
Kidawa alimaliza kidato
cha nne na akatumia ujuzi
wake kuandaa maisha. Kuna wanaume
wengi waliomtaka, akawakataa na kumfuata Dadi ambaye
alimkubali. “Wewe nimekupa mitihani mingi, na naona umefaulu”
(uk 58).
Kidawa alimaliza kidato
cha nne na akatumia ujuzi
wake kuandaa maisha. Kuna wanaume
wengi waliomtaka, akawakataa na kumfuata Dadi ambaye
alimkubali. “Wewe nimekupa mitihani mingi, na naona umefaulu”
(uk 58).
·
Kutokana na elimu duni ya Dadi, anaingiwa na shaka na
kumshuku mkewe. Akaona kwamba japo hajasoma, amebaini kuwa Kidawa anamwendea
kinyume.
Kutokana na elimu duni ya Dadi, anaingiwa na shaka na
kumshuku mkewe. Akaona kwamba japo hajasoma, amebaini kuwa Kidawa anamwendea
kinyume.
·
Ukweli kwamba Kidawa ni metroni na anaenda kazini usiku, na
usiku, kukamzidishia Dadi fikra zake hizo Mume wake anafanya kazi ya kuuza
samaki.
Ukweli kwamba Kidawa ni metroni na anaenda kazini usiku, na
usiku, kukamzidishia Dadi fikra zake hizo Mume wake anafanya kazi ya kuuza
samaki.
Umbea na
masengenyo
masengenyo
·
Dadi alihofia minong’ono ya
watu ambao walikuwa wanamsema kwa
vile alisaidiana na mkewe. Jambo hilo likamnyima
raha.
Dadi alihofia minong’ono ya
watu ambao walikuwa wanamsema kwa
vile alisaidiana na mkewe. Jambo hilo likamnyima
raha.
·
Wanawake na wanaume walimsema kuwa alidhibitiwa na
Kidawa. Jambo hilo linamwumiza mno. Walidai sio mwanamume tosha.
Wanawake na wanaume walimsema kuwa alidhibitiwa na
Kidawa. Jambo hilo linamwumiza mno. Walidai sio mwanamume tosha.
·
Dadi anapozungumza na Zuhura
anajishikilia ili asimpashe maneno makali akijua
kuwa bibi huyo ni mmbea.
Dadi anapozungumza na Zuhura
anajishikilia ili asimpashe maneno makali akijua
kuwa bibi huyo ni mmbea.
Itikadi/Desturi/Utamaduni
·
Kukuna nazi? Dadi anachukulia kuwa mwacha mila mtumwa.
Kukuna nazi? Dadi anachukulia kuwa mwacha mila mtumwa.
·
Anaamini kuwa baadhi ya kazi kama kukuna
nazi, kupika ni za kufanywa na wanawake.
Anaamini kuwa baadhi ya kazi kama kukuna
nazi, kupika ni za kufanywa na wanawake.
Mapenzi ya
dhati
dhati
·
Dadi alimpenda mno Kidawa, hata alipopewa
masharti ya kisasa pindi wakioana aliyakubali bila kufikiria kwa makini
maneno hayo.
Dadi alimpenda mno Kidawa, hata alipopewa
masharti ya kisasa pindi wakioana aliyakubali bila kufikiria kwa makini
maneno hayo.
·
Baada ya miaka tisa anashindwa kushikilia masharti,
akajiumiza bure bilashi akitafuta ithibati.
Baada ya miaka tisa anashindwa kushikilia masharti,
akajiumiza bure bilashi akitafuta ithibati.
·
Kwa upande wa Kidawa naye, alikuwa
na mapenzi ya dhati. Wanapotembea njiani
alimkemea Dadi — hakutaka kuangalia wanawake wengine.
Anapojipamba vyema alimwuliza mumewe ikiwa amependeza.
Kwa upande wa Kidawa naye, alikuwa
na mapenzi ya dhati. Wanapotembea njiani
alimkemea Dadi — hakutaka kuangalia wanawake wengine.
Anapojipamba vyema alimwuliza mumewe ikiwa amependeza.
·
Kidawa kufuatwa na wanaume wengi waliomtaka
uchumba, waliosoma na wasiosoma, wenye
uwezo na wasio nao lakini anawapeperushwa wote nje ya
unyumba wa ndoa na kumkubali Dadi (uk. 57 – 58).
Kidawa kufuatwa na wanaume wengi waliomtaka
uchumba, waliosoma na wasiosoma, wenye
uwezo na wasio nao lakini anawapeperushwa wote nje ya
unyumba wa ndoa na kumkubali Dadi (uk. 57 – 58).
·
Mwalimu mkuu kuwa mwaminifu kwa mkewe.
Mwalimu mkuu kuwa mwaminifu kwa mkewe.
·
Kidawa kuwa mwaminifu kwa mumewe licha ya mumewe
kutomwamini.
Kidawa kuwa mwaminifu kwa mumewe licha ya mumewe
kutomwamini.
WAHUSIKA
Dadi
Huyu
ni mchuuza samaki. Alimpenda mwanamke mmoja (Kidawa) kupita kiasi.
Dadi alijaribu kumpata Kidawa kwa kila njia lakini
hakuweza. Alikata tamaa kabisa. Kidawa alibadilisha mtazamo wake. Dadi akapewa
masharti ya kisasa katika ndoa yao. Masharti hayo yanamuumiza rohoni na
kumsononesha.
ni mchuuza samaki. Alimpenda mwanamke mmoja (Kidawa) kupita kiasi.
Dadi alijaribu kumpata Kidawa kwa kila njia lakini
hakuweza. Alikata tamaa kabisa. Kidawa alibadilisha mtazamo wake. Dadi akapewa
masharti ya kisasa katika ndoa yao. Masharti hayo yanamuumiza rohoni na
kumsononesha.
·
Ana bidii: anachuuza samaki kwa bidii hadi wamalizike.
Ana bidii: anachuuza samaki kwa bidii hadi wamalizike.
·
Kigeugeu: anayumbishwa na maneno ya watu hadi akakosa raha
kabisa.
Kigeugeu: anayumbishwa na maneno ya watu hadi akakosa raha
kabisa.
·
Mvumilivu – anavumilia mitihani mingi aliyopewa na Kidawa
kabla ya kukubali uchumba wake.
Mvumilivu – anavumilia mitihani mingi aliyopewa na Kidawa
kabla ya kukubali uchumba wake.
·
Mchangamfu – baada ya uchumba wake kukubaliwa na Kidawa,
anaanza kuwa na tabia ya kutabasamu na kuchekacheka hata pasi na kuweko
kitu cha kuchekesha hadi watu wakamlakabu Dadi Kichekacheka (uk. 58 – 59).
Mchangamfu – baada ya uchumba wake kukubaliwa na Kidawa,
anaanza kuwa na tabia ya kutabasamu na kuchekacheka hata pasi na kuweko
kitu cha kuchekesha hadi watu wakamlakabu Dadi Kichekacheka (uk. 58 – 59).
·
Mwenye mapuuza – anajifunga
kukubali masharti ya kisasa licha
ya kutojua maana ya masharti
yenyewe. Anaishia kutoyazingatia masharti hayo vyema.
Mwenye mapuuza – anajifunga
kukubali masharti ya kisasa licha
ya kutojua maana ya masharti
yenyewe. Anaishia kutoyazingatia masharti hayo vyema.
·
Mwenye shauku/mashaka- anashuku kuwa mkewe anamwendea
kinyume na mwalimu mkuu.
Mwenye shauku/mashaka- anashuku kuwa mkewe anamwendea
kinyume na mwalimu mkuu.
·
Mwenye taasubi – anakeketeka maini akifikiri kuwa
ataonekana na wanawake na wanaume mtaani kuwa yeye si mwanamume tosha kwa
kutiwa maganjani na kudhibitiwa na mkewe.
Mwenye taasubi – anakeketeka maini akifikiri kuwa
ataonekana na wanawake na wanaume mtaani kuwa yeye si mwanamume tosha kwa
kutiwa maganjani na kudhibitiwa na mkewe.
·
Mkali – anakasirika Bi. Zuhura anapomwambia ati samaki wake
wameoza. Anachupia baiskeli yake na kuondoka.
Mkali – anakasirika Bi. Zuhura anapomwambia ati samaki wake
wameoza. Anachupia baiskeli yake na kuondoka.
·
Mdadisi/mchunguzi – anafanya uchunguzi
mkali kuhusu nyendo za mkewe,
anamfuata hadi mahali pake pa
kazi na kuchungulia dirishani.
Mdadisi/mchunguzi – anafanya uchunguzi
mkali kuhusu nyendo za mkewe,
anamfuata hadi mahali pake pa
kazi na kuchungulia dirishani.
Umuhimu
·
Kupitia kwake tunajua kuwa si vizuri
kuzingatia tuhuma kabla ya kuhakikisha; sio
rahisi kuleta mabadiliko katika jamii. Ametumiwa
kutonyesha shida zinazosibu wanandoa wa leo.
Kupitia kwake tunajua kuwa si vizuri
kuzingatia tuhuma kabla ya kuhakikisha; sio
rahisi kuleta mabadiliko katika jamii. Ametumiwa
kutonyesha shida zinazosibu wanandoa wa leo.
Kidawa
Mwanamke
mrembo ambaye alitongozwa na wanaume wengi. Aliwakataa na kuwachuja hadi
akamchagua Dadi. Yeye alisoma hadi kidato cha nne. Alitaka mwanandoa ambaye
angezingatia masharti ya kisasa ya ndoa.
mrembo ambaye alitongozwa na wanaume wengi. Aliwakataa na kuwachuja hadi
akamchagua Dadi. Yeye alisoma hadi kidato cha nne. Alitaka mwanandoa ambaye
angezingatia masharti ya kisasa ya ndoa.
·
Ni mzingatifu: anajua alitaka nini maishani na
akazingatia matakwa yake — ya ndoa ya kisasa.
Ni mzingatifu: anajua alitaka nini maishani na
akazingatia matakwa yake — ya ndoa ya kisasa.
·
Ni jasiri: Hakuyumbishwa na umbeya wa wanajamii kama
Dadi.
Ni jasiri: Hakuyumbishwa na umbeya wa wanajamii kama
Dadi.
·
Mbaguzi – anawabagua wanaume wengi; waliosoma na
wasiosoma; walio na uwezo na wasiokuwa nao na kumkubali Dadi
Mbaguzi – anawabagua wanaume wengi; waliosoma na
wasiosoma; walio na uwezo na wasiokuwa nao na kumkubali Dadi
·
Mjasiriamali – kando na kazi yake ya umetroni,
anafanya kazi nyinginezo kama kutembeza bidhaa ili kuongeza pato
lake.
Mjasiriamali – kando na kazi yake ya umetroni,
anafanya kazi nyinginezo kama kutembeza bidhaa ili kuongeza pato
lake.
·
Mkaidi – mumewe anawazia kumkataza kutembeza bidhaa, hasa
nyakati za usiku, lakini anachelea kufanya hivyo kwa kujua kuwa
Kidawa hakataziki.
Mkaidi – mumewe anawazia kumkataza kutembeza bidhaa, hasa
nyakati za usiku, lakini anachelea kufanya hivyo kwa kujua kuwa
Kidawa hakataziki.
·
Mwenye kinyongo/ghere – huwa
anamkemea mumewe kwa kuwaangalia wanawake
waliovaa mavazi yanayowabana.
Mwenye kinyongo/ghere – huwa
anamkemea mumewe kwa kuwaangalia wanawake
waliovaa mavazi yanayowabana.
·
Hupenda kubwata, “stop your gaze!” (uk. 65). Pia anapenda
kujipodoa na kuvaa vizuri ili mumewe asije akaanza kuwa na jicho la nje.
Hupenda kubwata, “stop your gaze!” (uk. 65). Pia anapenda
kujipodoa na kuvaa vizuri ili mumewe asije akaanza kuwa na jicho la nje.
·
Mbinafsi – anajipamba ili kufurahisha moyo wake bila kujali
kovu analomwachia mumewe (uk. 66).
Mbinafsi – anajipamba ili kufurahisha moyo wake bila kujali
kovu analomwachia mumewe (uk. 66).
·
Mwaminifu – licha ya mumewe kutomwamini, hamwendei kinyume
na mwalimu mkuu.
Mwaminifu – licha ya mumewe kutomwamini, hamwendei kinyume
na mwalimu mkuu.
·
Nadhifu – anapenda kuvaa mavazi nadhifu, kujipodoa na
kujirashia marshi mazuri.
Nadhifu – anapenda kuvaa mavazi nadhifu, kujipodoa na
kujirashia marshi mazuri.
Umuhimu
wake
wake
· Kidawa ni kielelezo cha
mwanamke wa kisasa ambaye hataki kushikilia mila za kizamani. Kupitia
kwake, tunausiwa kuwa ni vyema mtu atoe msimamo wake maishani ili
ujulikane bayana.
mwanamke wa kisasa ambaye hataki kushikilia mila za kizamani. Kupitia
kwake, tunausiwa kuwa ni vyema mtu atoe msimamo wake maishani ili
ujulikane bayana.
Mnunuzi wa samaki
Ni Bi. Zuhura.
· Mwenye maneno ya karaha –
Anakashifu samaki wa Dadi na kudhani kuwa wameoza.
Anakashifu samaki wa Dadi na kudhani kuwa wameoza.
Ni mmbeya: anampiga Dadi
vijembe kujua kuhusu jinsi anavyoindesha ndoa yake.
vijembe kujua kuhusu jinsi anavyoindesha ndoa yake.
Umuhimu Wake_
Ni kiwakilishi cha wanawake wambeya wanaojiingiza kwenye mambo ya watu.
Ni kiwakilishi cha wanawake wambeya wanaojiingiza kwenye mambo ya watu.
Mwalimu Mkuu
· Ni mwalimu mkuu
wa shule ya wasichana anapofanya kazi Kidawa. Ameaoa.
wa shule ya wasichana anapofanya kazi Kidawa. Ameaoa.
· Mara nyingi huwa
afisini mwake hadi usiku akizipinguza kazi zake.
afisini mwake hadi usiku akizipinguza kazi zake.
· Mwenye utu: anapiga simu
mara moja kuita ambulensi baada Dadi kuanguka na kuumia kichwani.
mara moja kuita ambulensi baada Dadi kuanguka na kuumia kichwani.
· Mwaminifu – hana
uhusiano wa kimapenzi na Kidawa licha ya kwamba alikuwa anatumia muda mwingi
naye hata wakati wa usiku.
uhusiano wa kimapenzi na Kidawa licha ya kwamba alikuwa anatumia muda mwingi
naye hata wakati wa usiku.
· Mchapa kazi – hubaki afisini
hata majira ya usiku ili kupunguza kazi zilizomsonga.
hata majira ya usiku ili kupunguza kazi zilizomsonga.
MBINU ZA UANDISHI
Taharuki
· Baada ya kupelekwa hospitali,
Je alipona au aliaga dunia, ukizingatia kuwa aliumia vibaya kichwani.
Je alipona au aliaga dunia, ukizingatia kuwa aliumia vibaya kichwani.
· Je, Kidawa alikichukuliaje
kitendo hicho cha mumewe kupanda juu ya paipu na kuchungulia ndani?.
kitendo hicho cha mumewe kupanda juu ya paipu na kuchungulia ndani?.
Taswira
· Baada ya Dadi kupelekwa
hospitalini, Je, alipona au aliaga dunia? Ukizingatia kuwa aliumia vibaya
kichwani.
hospitalini, Je, alipona au aliaga dunia? Ukizingatia kuwa aliumia vibaya
kichwani.
· Je, Kidawa alikichukuliaje
kitendo hicho cha mumewe kupanda juu ya paipu na kuchungulia ndani?
kitendo hicho cha mumewe kupanda juu ya paipu na kuchungulia ndani?
· Je. Hatima ya
ndoa ya Kidawa na Dadi ilikuwa gani? n.k.
ndoa ya Kidawa na Dadi ilikuwa gani? n.k.
· Taharuki inaibuka
Dadi anapoanza kumshuku mkewe. Je, ni kweli kuwa mkewe anamwendea
kinyume na mwalimu mkuu?
Dadi anapoanza kumshuku mkewe. Je, ni kweli kuwa mkewe anamwendea
kinyume na mwalimu mkuu?
· Taswira ya Dadi akiwa juu ya
baiskeli yake akiita wanunuzi.
baiskeli yake akiita wanunuzi.
· Kuna taswira ya Kidawa akiwa
amevalia viatu vipya na kanzu tayari kwenda kazini usiku.
amevalia viatu vipya na kanzu tayari kwenda kazini usiku.
· Aidha kuna taswira ya kile
chakula cha jioni cha ndizi na samaki ambacho Dadi hakukigusa
chakula cha jioni cha ndizi na samaki ambacho Dadi hakukigusa
Sadfa
· Dadi alienda
kuona iwapo mwalimu alikuwa kwake jioni.
Alipomkosa akajihakikishia kwamba alienda kukutana na Kidawa.
Anaenda afisini na kuwapata wakiwa pale.
kuona iwapo mwalimu alikuwa kwake jioni.
Alipomkosa akajihakikishia kwamba alienda kukutana na Kidawa.
Anaenda afisini na kuwapata wakiwa pale.
· Aidha ilikuwa sadfa kuwa taa
ya nje ilikuwa haiwaki na Dadi akapata mandhari mazuri ya kujificha
akipanda ile paipu.
ya nje ilikuwa haiwaki na Dadi akapata mandhari mazuri ya kujificha
akipanda ile paipu.
· Siku ile Dadi anapoenda
afisini kuchunguza nyendo za mkewe ndiyo
siku mkewe anapoacha kazi kwa sababu ya mumewe
kutomwamini (uk. 68).
afisini kuchunguza nyendo za mkewe ndiyo
siku mkewe anapoacha kazi kwa sababu ya mumewe
kutomwamini (uk. 68).
· Mahali pale ambapo Dadi
alipata paipu na kuiparamia palikuwa mahali ambapo hapakuwa
panapitwa na watu sana.
alipata paipu na kuiparamia palikuwa mahali ambapo hapakuwa
panapitwa na watu sana.
· Ni sadfa kuwa usiku ule Dadi
anapokuja pale ndipo walipita watu wakamwona akiwa pale juu.
anapokuja pale ndipo walipita watu wakamwona akiwa pale juu.
Kuchanganya
ndimi
ndimi
· Kuna maneno ya Kiingereza
yaliyotumika kama “Stop your gaze!”
yaliyotumika kama “Stop your gaze!”
· my dress my choice · celeb socialite n.
Mdokezo
· Kidawa alijaribu
kumhakikishia mumewe uaminifu wake na kumkumbusha ahadi
zao, alipogeuka na kuona chakula hakikuguswa
alikatisha usemi wake (uk 66)
kumhakikishia mumewe uaminifu wake na kumkumbusha ahadi
zao, alipogeuka na kuona chakula hakikuguswa
alikatisha usemi wake (uk 66)
· Dadi alipokuwa akienda
shuleni kumwangalia mwalimu mkuu, alijiapiza kuwa leo ni leo na
hakumaliza msemo huo.
shuleni kumwangalia mwalimu mkuu, alijiapiza kuwa leo ni leo na
hakumaliza msemo huo.
· Wakati mwalimu
mkuu alipokuwa akimwasa Kidawa kuhusu kuacha
kazi, mdokezo umetumika, “Mtu ana kazi
nanga zinapaa, sikwambii… “(uk 68)
mkuu alipokuwa akimwasa Kidawa kuhusu kuacha
kazi, mdokezo umetumika, “Mtu ana kazi
nanga zinapaa, sikwambii… “(uk 68)
Takriri
Neno kisasa limerudiwarudiwa kusisitiza kiini cha
hadithii hii “Mwanamke wa kisasa hutafuta mwanaume wa kisasa, mwenye mapenzi ya
kisasa (uk 58)
hadithii hii “Mwanamke wa kisasa hutafuta mwanaume wa kisasa, mwenye mapenzi ya
kisasa (uk 58)
· …nyakati hizi hizi za kisasa
(uk. 58).
(uk. 58).
· …neno ‘kisasa’ hatua kwa
hatua, kipembe baada ya kipembe (uk. 58).
hatua, kipembe baada ya kipembe (uk. 58).
· …alijatibu kuyapinduapindua,
kuyapekuapekua na kuyabiruabirua ilia pate…
kuyapekuapekua na kuyabiruabirua ilia pate…
· Roho haitaki, na ikiwa roho
haitaki ndio haitaki (uk. 64).
haitaki ndio haitaki (uk. 64).
Tanakuzi
· Tanakuzini matumizi ya maneno
yanayopingana.
yanayopingana.
· Waliosoma na wasiosoma
· wenye uwezo na wasio
nao (uk 57)
nao (uk 57)
Majazi
·
Kidawa – ni dawa la mapenzi ya Dadi
Kidawa – ni dawa la mapenzi ya Dadi
· Dadi– dadisi. Kuulizauliza na kufanya uchunguzi. Anadadisi
kuhusu nyendo za mkewe
kuhusu nyendo za mkewe
Sitiari/jazanda
· …anafuata nyuki apate kula
asali… (uk. 56). Nyuki hapa ni Kidawa na asali ni mapenzi ya Kidawa.
asali… (uk. 56). Nyuki hapa ni Kidawa na asali ni mapenzi ya Kidawa.
· Dadi akageuka maji ya kuuzima
moto… (uk. 57). Maji hapa ni Dadi na moto ni Kidawa.
moto… (uk. 57). Maji hapa ni Dadi na moto ni Kidawa.
Utohozi
· …katia saini… · …paipu…
Sauti
·
Hujitokeza pale hadithi inapokuwa na sauti ya mtu, kitu au
mnyama. Sauti hiyo huchangia katika kukuza vitushi vikuu vya hadithi.
Hujitokeza pale hadithi inapokuwa na sauti ya mtu, kitu au
mnyama. Sauti hiyo huchangia katika kukuza vitushi vikuu vya hadithi.
·
Pom poom! Pom poom! Pom poom… (uk. 59). Sauti ya honi ya
baiskeli ya Dadi ikiita wateja.
Pom poom! Pom poom! Pom poom… (uk. 59). Sauti ya honi ya
baiskeli ya Dadi ikiita wateja.
·
Kuna sauti ya wapita njia wanapomwona Dadi.
Kuna sauti ya wapita njia wanapomwona Dadi.
·
Sauti hiyo inauliza anachofanya
pale juu; ikiwa anawachungulia wasichana; inamshtumu yeye
kuwa mpiga bodi; inamshtumu kuwa mwizi; inaita walinzi wa bweni waje
wamwone mtu aliyepanda pale juu;
Sauti hiyo inauliza anachofanya
pale juu; ikiwa anawachungulia wasichana; inamshtumu yeye
kuwa mpiga bodi; inamshtumu kuwa mwizi; inaita walinzi wa bweni waje
wamwone mtu aliyepanda pale juu;